VIJIJI 80 KUNUFAIKA NA UMEME WA REA MOROGORO
NA MWANDISHI WETU -MOROGORO. JUMLA ya Vijiji 80 wilaya ya Morogoro vinatarajiwa kunufaika na mradi wa umeme wa Rea awamu ya tatu baada ya serikali kuviorodhesha vijiji hivyo kuingia kwenye mpango huo ili kuhakikisha kila kijiji kinakuwa na umeme wilayani hapo. Hayo yalisemwa na Kaimu Meneja wa Shirika la Umeme Tanzania(TANESCO) wilaya ya Morogoro Hilda
Copy and paste this URL into your WordPress site to embed
Copy and paste this code into your site to embed